Ni rahisi sana kutoa lock ya aina yoyote kwa simu zenye mfumo wa
android OS. Zipo sababu nyingi zinazopelekea mtu kusahau password au
pattern aliyoiweka katika simu yake sasa huna haja ya kuwafata
mafundi na kupoteza hela zako.. wala huna haja ya kupanik hata kidogo
ungana nami katika mada hii kutatua tatizo mwenyewe
Unachotakiwa kufanya katika kufanikisha hili fuata hatua hizi chache tu
utakuwa umemaliza kazi
HATUA 1:
Zima simu yako na kutoa betri kwa muda wa dakika kama tano tu arafu
rudisha betri katika simu kwasababu unaweza ukaizima simu kumbe
imerestart au imesleep ndo mana tunashauri utoe betri na uiache kwa
dakika tano kisha uirudishe katika simu yako
HATUA 2:
Simu nyingi za android zinakuwaga na kitufe cha kuwashia, kitufe cha
home pamoja na vitufe vya sauti ambavyo ni kupandisha sauti na
kushusha sasa unachotakiwa kufanya ni kubonyeza kitufe cha kuongeza
sauti na kitufe cha kuwashia pamoja na kitufe cha home (kitufe cha
sauti juu + kitufe cha home + kitufe cha kuwashia) kwa muda wa dakika
moja au tatu mpaka iwake skilini nyeusi yenye maandishi ya kijani au
blue
HATUA 3:
Hapo utatumia vitufe vya sauti kuchagua na kitufe cha kuwasha kwaajili
ya kuiruhusu menyu hiyo menyu kisha chagua wipe data/Factory reset ili
kufuta kumbukumbu zote za simu ikiwemo na password,pin au pattern
baada ya hapo utasubilia kwa muda ifute vitu vyote mwisho kabisa
itawaka yenyewe bila password,pin au pattern
NOTE:
Kwa wale ambao simu zao hazina kitufe cha home mnaweza kutumia
1.kitufe cha kuwasha + kitufe cha sauti juu au 2.kitufe cha kuwasha +
kitufe cha sauti juu + kitufe cha sauti chini.... ASANTENI KAMA
UMEIPENDA MADA HII AU UNA SWALI NAKURUHUSU UULIZE KATIKA
COMMENT NITAKUJIBU
android OS. Zipo sababu nyingi zinazopelekea mtu kusahau password au
pattern aliyoiweka katika simu yake sasa huna haja ya kuwafata
mafundi na kupoteza hela zako.. wala huna haja ya kupanik hata kidogo
ungana nami katika mada hii kutatua tatizo mwenyewe
Unachotakiwa kufanya katika kufanikisha hili fuata hatua hizi chache tu
utakuwa umemaliza kazi
HATUA 1:
Zima simu yako na kutoa betri kwa muda wa dakika kama tano tu arafu
rudisha betri katika simu kwasababu unaweza ukaizima simu kumbe
imerestart au imesleep ndo mana tunashauri utoe betri na uiache kwa
dakika tano kisha uirudishe katika simu yako
HATUA 2:
Simu nyingi za android zinakuwaga na kitufe cha kuwashia, kitufe cha
home pamoja na vitufe vya sauti ambavyo ni kupandisha sauti na
kushusha sasa unachotakiwa kufanya ni kubonyeza kitufe cha kuongeza
sauti na kitufe cha kuwashia pamoja na kitufe cha home (kitufe cha
sauti juu + kitufe cha home + kitufe cha kuwashia) kwa muda wa dakika
moja au tatu mpaka iwake skilini nyeusi yenye maandishi ya kijani au
blue
HATUA 3:
Hapo utatumia vitufe vya sauti kuchagua na kitufe cha kuwasha kwaajili
ya kuiruhusu menyu hiyo menyu kisha chagua wipe data/Factory reset ili
kufuta kumbukumbu zote za simu ikiwemo na password,pin au pattern
baada ya hapo utasubilia kwa muda ifute vitu vyote mwisho kabisa
itawaka yenyewe bila password,pin au pattern
NOTE:
Kwa wale ambao simu zao hazina kitufe cha home mnaweza kutumia
1.kitufe cha kuwasha + kitufe cha sauti juu au 2.kitufe cha kuwasha +
kitufe cha sauti juu + kitufe cha sauti chini.... ASANTENI KAMA
UMEIPENDA MADA HII AU UNA SWALI NAKURUHUSU UULIZE KATIKA
COMMENT NITAKUJIBU
JackpotCity Casino Site - Lucky Club Live Casino
ReplyDeleteJackpotCity is a trusted online gambling platform that offers thousands of slots, table games and live games from the top providers of Microgaming, luckyclub