Mara nyingi wengi wetu tumezoea kutumia social network mbalimbali kama kujiburudisha bila kujua kwamba kila mtandao wa kijamii una njia ya kukutengenezea kipato kikubwa. leo nimeona nianze kukufundisha njia ya kuingiza pesa kupitia facebook ILI KUTENGENEZA KIPATO KWA NJIA FACEBOOK UNATAKIWA KUWA NA VITU VIFUANTAVYO 1. Unatakiwa uwe na accont ya bank 2.Uwe na creditcard ya mastercard au visacard 3. unatakiwa uwe na account ya paypal kwa ajili ya kupokea payment kutoka kwenye mtandao wowote wa kijamii utakaojiunga nao ukiwa na hivyo vitu unaweza kutengeneza pesa nyingi kwa mwezi mmoja CHANZO CHA KIPATO Vipo vyanzo vingi au njia nyingi za kutengeneza kipato ndani ya fb leo nitaelezea njia ambayo ni rahisi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuitumia bila kuwa mtaalamu sana njia hiyo ni ya kulipwa kwa like kwa hiyo unalipwa kwa kupata like unazozipata kwenye page yako au group ndani ya facebook zipo njia kuu mbili za kufanya trick upate like nying njia ya kwanza ni
Internet ni kitu cha muhimu sana na ambacho karibu watumiaji wote wa smartphones hukizingatia kwanza. Lakini kuna baadhi ya watumiaji wa smartphones wamekuwa wakikubwa na matatizo ya simu zao kutomuwa na mtandao wa internet ambao haueleweki mara 2g mara 3g, 4g pasipo ruhusa ya mtumiaji. UNAJUA KWA NINI HALI HII HUTOKEA???!!. Frequencies za mtandao hubadilishana kutokana na matumizi ya internet kwenye eneo husika, hivyo suala la smartphone kujichagulia mtandao yenyewe hutegemeana frequencies za mtandao upi unaokuwa na nguvu ndani ya muda husika. Kama frequencies za 2g , 3g au 4g Zitakuwa na nguvu basi smartphone yako itakachagua mtandao wa kutumia yenyewe. KAMA SMARTPHONE YAKO INAJICHAGULIA 2G, 3G, AU 4G BILA WEWE KUPENDA BASI FANYA YAFUATAYO Kama unatumia smartphone ya >>>>>>>>> #ANDROID FANYA HIVI KIURAHISI: NENDA SEHEMU YA KUANDIKIA NAMBA BONYEZA >>> *#*#4636#*#* kama inakataa download application y